Bwana Yesu Asifiwe!
Tunakushukuru kwa kuchukua hatua ya kuamua kujifunza Neno la Mungu pamoja nasi ili uweze kukua Kiroho. Hapo chini kuna orodha ya masomo tuliyofundisha maalum kwa ajili ya vijana katika sehemu mbalimbali kwa kadri Mungu alivyotuongoza hivyo bonyeza kichwa cha somo ulichokipenda ili nawe ushiriki tulichojifunza
Mafundisho
ya Vijana katika mfululizo kila wiki:
- Mambo ya kutafakari kabla ya
kufanya uamuzi wa kuoa au kuolewa
- Utangulizi, wiki ya 1, 2, 3, 4, 5, 6, 7, 8, 9, 10 na 11.
No comments:
Post a Comment